Posts

Showing posts with the label Jali Afya Yako

BIDHAA

# *FOREVER LEAN* Hii inasaidia sana kupunguza unyonywaji wa mafuta na wanga. Imetokana na matunda yanayopatikana kwenye mimea ya cactus yanayojulikana sana kama Indian Fig,ambayo yana nyuzi nyuzi(fiber) zinazosaidia sana kufyonza mafuta kwa kiwango kikubwa. Pia imechanganywa na maharage meupe (white kidney beans) yenye protein inayozuia ufyonzwaji wa sukari ktk utumbo mdogo. Pia ina Chomium Trichloride ambayo ni madini muhimu yanayorekebisha sukari kwenye damu,ikifanya kazi kama GTF(Glucose Tolerance Factor) ambayo inasaidia sana metabolism. Kwa ujumla bidhaa hii inasaidia kudhibiti Uzito kuongezeka, na ili ifanye kazi vizuri ni muhimu kufanya mazoezi wakati wa kuitumia. *Matumizi* Meza kidonge kimoja na maji kabla hujaanza kula. Unaweza kutumia mpaka vidonge vinne kwa siku. *Faida* 🔥Inasaidia kuzuia ufyonzwaji wa mafuta,sukari, na wanga hivyo kuzuia *UNENE* 🔥Wanaopenda kula nyama Ice cream, na chocolate au chochote chenye mafuta na sukari tumia kabla hujala. ...

JE UNAPATA CHANGAMOTO YA MENO AU UNAPATA TATIZO LA MENO MARA KWA MARA??

SOMA HAPA NA JIULIZE MASWALI HAYA! 1. Kwa nini meno yanauma wakati mwanzo hayakuwa yanauma? 2. Kwa nini unang'oa jino kisha tatizo lilelile linahamia jino lingine?? 3. Kwa nini kinywa chako hata ukipig a mswaki bado unatoa harufu mbaya? 4. kwa nini ukipiga mswaki fizi zinatoa damu? Meno ni muunganiko wa mfupa wa jino, Fizi na Mishipa. Mara nyingi watu wengi huwa pale wanapoumwa na jino wanakimbilia kung’oa jino eti dawa ya jino kuling’oa jambo ambalo si kweli. Tambua, unapoenda King'oa jino, unang'oa mfupa wa jino ila maradhi umeyaacha ktk fizi na mishipa ndani ya kinywa. Fahamu kuwa kwenye kinywa cha mwanadamu kuna bakteria wanaoishi mdomoni wanaitwa NORMAL FRALER. Bakteria hawa ndio wanaotengeneza ute wenye Acid unaolainisha chakula kwa haraka mdomoni. Lakini wanasababisha ugonjwa unaoitwa GINGIVAITES, ugonjwa huu husababisha fizi kutoa damu haswa unapopiga mswaki, lakini ukiachwa ukawa sugu unasababisha ugonjwa mwingine sugu  MACHODIFECE, Ugonjwa huu husababisha na ...

GROUP (KUNDI) ZA DAMU NA TABIA ZAKE

Image
ZIFAHAMU GROUP (KUNDI) ZA DAMU NA TABIA ZAKE Kundi lako la damu linaweza kukufanya uwe dhaifu au imara katika kukabiliana na magonjwa fulani.Ni vema kujua kundi lako la damu sawa na ilivyo vema kujua mambo mengine yanayochangia kuwa na afya njema. Kujua kundi lako la damu Kunaweza kukuza uwezo wako wa kufahamu hatari zinazo kukabili kutokana na kundi la damu Ulilo nalo na kuepuka hatari hizo kwa kutumia mtindo wa maisha unaofaa.Hata hivyo, Kama vilivyo viungo vingine vya mwili, damu nayo ina changamoto ya kukumbana na maradhi mbalimbali, magonjwa yanayoathiri utendaji kazi wa damu yanaweza kugawanywa katika makundi kama vile ya kurithi, kuambukiza, mabadiliko ya kimwili na saratani tofauti. Damu ya binadamu imegawanyika katika makundi makuu manne ambayo ni A, B, AB, na O, binadamu yeyote lazima awe na moja wapo ya makundi hayo. GROUP A ✔Hawa ni vegetarians wanahitaji sana mananasi na zabibu kwa wingi. ✔ Mara nyingi ni wale watu ambao hawaambiliki yaani wakiamua kitu wameamua mpaka ...

TATIZO LA HARUFU MBAYA MDOMONI NA TIBA YAKE

Image
Kuwa na harufu mbaya mdomoni ni kitendo kinachoweza kuathiri maisha ya mtu kimahusiano si kwa mpenzi tu bali marafiki na jamii kwa ujumla. Pia kuwa na harufu mbaya mdomoni hupunguza mtu kuwa lovable kwani hata unapoongea wengi watakwepa kuongea direct na wewe kwa sababu ya harufu mbaya inayotoka mdomoni. Zifuatazo ni baadhi tiba ambazo ni rahisi kuandaa mwenyewe ukiwa nyumbani na hazina madhara kabisa kiafya. 1. CHAI YA KIJANI (GREEN TEA) Green tea ni tajiri wa polyphenol,ina antioxidant yenye nguvu sana ambayo itaondoa plaque kuenea kwenye meno yako. Polyphenols imeonekana kuzuia bacteria kukua katika mdomo.Kwahiyo kufyonza chai ya kijani husaidia kuondoa harufu chafu ya vitunguu. Spinach, chai ya rangi,apples na mushrooms pia nazo zina polyphenols, unaweza pia kutumia aina hii ya vyakula na kinywaji baada ya kujiona mdomo unatoa harufu iliosababishwa na mlo wako. 2. MATUNDA NA MBOGA FRESH Fiber-nyingi hupatikana kwenye matunda na mboga, husaidia kuondoa harufu mbaya ya mdomoni (na ku...

PROSTATE CANCER(TEZI DUME)

Image
_*AFYA YA MWANAUME*_ Na Emmauel Mputa *JALI AFYA YAKO* _*LEO NATAKA NIIZUNGUMZIE CHANGAMOTO YA SARATANI YA TEZI DUME.*_ SARATANI ya TEZI DUME inashika NAFASI YA TATU kwa kusababisha VIFO vinavyotokana na KANSA kwa WANAUME duniani. Ugonjwa huu huwapata WANAUME wenye UMRI wa kuanzia MIAKA 45 na kuendelea, hata hivyo, SARATANI ya TEZI DUME kwa sasa inawapata sana WANAUME kuanzia MIAKA 25. Kwa ufahamisho tu ni kwamba NENO SARATANI ni JINA la UGONJWA ambalo hutokea wakati CHEMBE HAI au SELI katika sehemu fulani ya MWILI zinapoanza KUKUA bila kufuata UTARATIBU wa MFUMO WA MWILI na kutengeneza VIJIUVIMBE vidogo vidogo. Kwa kawaida SELI huwa ZINAJIGAWA, KUPEVUKA na baadaye ZINAKUFA. UTOKEAJI wa SARATANI ni pale ambapo SELI zilizotakiwa KUFA HAZIFI, zinaendelea KUISHI wakati HUOHUO zile MPYA zinazidi KUZALIWA. UKWELI ni kwamba WANAUME wote WANAZALIWA na TEZI DUME lakini baada ya BALEHE, TEZI DUME huongezeka UKUBWA mara MBILI. Na ikifika MIAKA 30 TEZI DUME huanza KUKUA haraka zaidi.Hii ni kwa sa...

UTUMBO KUZIBA

Image
Utumbo kuziba Iwapo kuna kitu ambacho kimeziba sehemu yoyote ile ya utumbo, chakula na kinyesi haviwezi kupita. Hii inaweza kusababisha maumivu na maambukizi. Pamoja na maumivu, mtu huyu anaweza kuanza kupata choo kigumu au kutopata choo kabisa na kutapika. Tumbo linaweza kuwa kimya, au kutoa sauti nyingi zenye mlio wa juu. Uzibe utumboni huweza kusababisha kutapika kwa nguvu. Tatizo la utumbo kuziba linaweza kusababishwa na: Fungu la minyoo lililojisokota kama mpira . Henia . Sehemu ya tumbo kujisokota kutokana na kovu la zamani. Hii inaweza kumtokea mtu ambaye aliwahi kupata jeraha au kufanyiwa upasuaji kwenye utumbo. Saratani . Kama unadhani kuna uzibe kwenye utumbo, fanya mambo 2: Mpeleke mgonjwa hospitali mara moja.  Huenda upasuaji ukahitajika. Kama kuna minyoo mahali unapoishi, mpe dawa ya minyoo ya askarisi ukiwa unampeleka hospitalini, hasa kama minyoo ndiyo itakuwa imesababisha uzibe huo. Bonyeza hapa kwa ajili ya  dawa za minyoo . Ugonjwa wa kidole tumbo na uvi...

Maumivu tumboni au kwenye utumbo

Image
Maumivu tumboni au kwenye utumbo Kama kuna maumivu, muulize mgonjwa aoneshe hasa wapi maumivu yalipo. Mahali maumivu yalipo inaweza kutoa mwanga juu ya kisababishi. Pia ni muhimu kujua kama matumbo yanafanya kazi – kutembeza chakula na kukichakata. Kama hapana, hii inaweza kuwa dalili ya hatari hasa. Uliza:  mgonjwa amekwenda haja kubwa au kujamba? Kama anapata choo kama kawaida ni dalili nzuri. Kama mgonjwa hajaenda chooni kwa siku kadhaa, anaweza kuwa na tatizo la  kupata choo kigumu . Kama hajapata choo, hawezi kujamba, na ana maumivu, tatizo linaweza kuwa  uzibe kwenye utumbo . Sikiliza:  kuna sauti zozote kutoka kwenye utumbo? Sauti ni dalili nzuri kiafya za chakula kuchakatwa na utasikia sauti hata kama kuna tatizo la ugumu wa choo. Kutokuwa na sauti ni dalili hatari ya utumbo kuziba. Gusa:  je tumbo ni gumu kama ubao? Unapogusa anasikia maumivu sana? Hizi ni dalili za hatari kubwa. Kidonda tumboni Maumivu sehemu ya katikati tumboni Kidole tumbo Kwanza ...