Posts

VITU VILIVYOMO KTK SPERMS

JE KWANINI KUWA NA MPENZI ZAIDI YA MMOJA AU ZINAA IMEKATAZWA?SOMA HADI MWISHO KUJUA SABABU *KISAYANSI* Ndani ya manii mna kitu gani kitaalamu. Ndani ya manii mna vitu vikuu vinne: • PROTEIN, • ACID, • SPERM au CHROMOSOME, • VIRUS. PROTEIN: Ni aina mojawapo ya “Food Substance” inayorutubisha mwili. Substance hii inapatikana ndani ya manii na pia watu wa mambo ya reproduction system (mfumo wa uzazi) wanakubali kwamba manii yanatokana na aina hii ya chakula na ndiyo maana kama una njaa shughuli ya Jimai inashindikana, au kama utajilazimisha utapata madhara. ACID: Ni mfano wa tindikali, yaani kitu chenye ladha ya ukali mfano ndimu. Na kitu chenye tindikali kina kawaida ya kuunguza na pia kulegeza kwa itakayompata au kumuingia, ndiyo sababu kitaalam ukimlinganisha mwanamke aliyeolewa na asiyeolewa kisha akawa hafanyi zinaa maumbile yao yanatofautiana. Yule aliyeolewa mwili wake unakuwa laini zaidi sababu ya acid inayopatikana ndani ya manii. Nitakupa mifa...

C9 DIETING

Hongera kwa kuanza safari yako ya kupungua lakini pia kuimarisha afya. Clean 9 ni program ya siku tisa ambayo itakusaidia kupungua lakini pia kuondoa sumu mwilini. Imegawanyika katika sehemu mbili siku 1-2 na siku ya 3-9. Ni muhimu sana kufuata maelekezo ili upate matokea mazuri. Hakikisha una rekodi kama muongozo ulivyo kwenye kitabu. Muongozo wa Siku 1-2 Hii ndio sehemu muhimu na ngumu zaidi kwani hautakula chochote ambacho hakija orodheshwa hapa. Hizi ndio ziku ambazo mwili unatoa sumu kwa kiasi kikubwa. Asubuhi Kunywa Garcinia Plus vidonge 2 Kunywa Aloe Vera Gel 120ml( Nusu Glass) Kunywa Therm kidonge 1 Kunywa Maji walau Glass moja. Fanya mazoezi walau Dk 30 Mida ya saa nne( katikati ya asubuhi na mchana) Changanya Fibre na glass moja ya maji Mchana Kunywa Garcinia Plus 2 Subiri dk 20 zipite Kunywa Aloe Vera Gel 120ml( Nusu Glass) Kunywa Therm 1 Changanya kijiko kimoja cha Ultra na maziwa yasiyo na mafuta ( skim milk) 300ml utaweka mchanganyiko katika chupa( shaker). Hii ni tamu sa...

TATIZO LA HARUFU MBAYA MDOMONI NA TIBA YAKE

Image
Kuwa na harufu mbaya mdomoni ni kitendo kinachoweza kuathiri maisha ya mtu kimahusiano si kwa mpenzi tu bali marafiki na jamii kwa ujumla. Pia kuwa na harufu mbaya mdomoni hupunguza mtu kuwa lovable kwani hata unapoongea wengi watakwepa kuongea direct na wewe kwa sababu ya harufu mbaya inayotoka mdomoni. Zifuatazo ni baadhi tiba ambazo ni rahisi kuandaa mwenyewe ukiwa nyumbani na hazina madhara kabisa kiafya. 1. CHAI YA KIJANI (GREEN TEA) Green tea ni tajiri wa polyphenol,ina antioxidant yenye nguvu sana ambayo itaondoa plaque kuenea kwenye meno yako. Polyphenols imeonekana kuzuia bacteria kukua katika mdomo.Kwahiyo kufyonza chai ya kijani husaidia kuondoa harufu chafu ya vitunguu. Spinach, chai ya rangi,apples na mushrooms pia nazo zina polyphenols, unaweza pia kutumia aina hii ya vyakula na kinywaji baada ya kujiona mdomo unatoa harufu iliosababishwa na mlo wako. 2. MATUNDA NA MBOGA FRESH Fiber-nyingi hupatikana kwenye matunda na mboga, husaidia kuondoa harufu mbaya ya mdomoni (na ku...

NETWORK MARKETING (BIASHARA YA MTANDAO)

Image
IJUE BIASHARA YA MTANDAO(NETWORK MARKETING) NA FAIDA ZAKE. Nawasalimu Ndugu zangu na Kuwakaribisha katika ukurasa huu wa Forever Living Products. Naam karibuni sasa tushirikiane katika mada hapo juu. Wengi huenda sio mara ya kwanza kusikia juu ya biashara ya mtandao(Network Marketing). Kama tunaijua twendelee kuijua zaidi, na kwa wale ambao ndio Mara yao ya kwanza kusikia, basi tufuatane hadi mwisho wa makala hii ili tuijue, karibuni. Network Marketing(Biashara mtandao) ni biashara inayofanyika kwa kuwaunga zaidi watu kusambaza na kuuza bidhaa za kampuni kama wasambazaji ambao hulipwa kulingana na utendaji kazi wa mtu binafsi. Aina hii ya biashara huwa na kampuni linalozalisha bidhaa Fulani na kuziuza kwa kutumia wasambazaji waliokubaliwa na kampuni, ambapo wasambazaji hulipwa kamisheni kulingana na mauzo, lakini pia kupata faida fulani(retail profit) katika bidhaa hizo anapoziuza kwa mtumiaji wa mwisho. Hivyo msambazaji(distributor) anapouza zaidi ndipo kampuni nalo linapouza zaidi na...

BIASHARA YA KUPENDEKEZA

Hello mpendwa u hali gani,,    ??? Leo nimeona nijifunze nawe kile kitu ambacho mimi nakifanya na naona manufaa yake kama kwangu kinafanya kazi na kwako kitafanya kazi kama utakifanyia kazi..... *NETWORK MARKETING* Hii Ni biashara ya mtandao( a multi-level marketing or network marketing). Hii biashara inajihusisha na usambazaji wa bidhaa kutoka kwa mzalishaji kwenda kwa mtumiaji, pia inawalipa wale wote wanaosambaza bidhaa kutoka kwa mzalishaji kwenda kwa mtumiaji.Unaweza kuifanya biashara hii kwa muda wa ziada au muda wote. Baada ya masaa yako ya kazi na baadae kuipeleka kwa kuifanya muda wako wote. Biashara hii inakuwa na gharama ndogo za uendeshaji,tofaut na biashara zote tulizozizoea.Biashara ninayoizungumzia hapa ni kutoka kampun ya FOREVER LIVING.Ili uweze kujiunga na biashara hii unahitajika ununue bidhaa zenye thamani ya *Tsh1,070,000(yaan 2CC)*. Ukijiunga kwa *2CC au 1,070,000* unakuwa mwanachama au msambazaji na mtumiaji mkuu wa bidhaa hizi za kampuni ya FOREVER...

MZUNGUKO MFUPI WA HEDHI

SIKU YA UZAZI MZUNGUKO MFUPI Mungu ndio muumba watu wote na viumbe vyote juu na chini ya jua - hilo halina pingamizi wala ubishi na lazima tumshukuru Mungu kwa hilo, ila alitoa amri ya ndoa kwamba ZAENI MKAONGEZEKE kwa hiyo kila mtu anayependa kutimiza amri hii yafaa awe na maarifa. Kwa wale wasiojua namna ya kuhesabu mizunguko yao basi ni muhimu kurudi katika mada zilizopita na kisha kujifunza namna ya kuhesabu mzunguko wako. Tambua ya kwamba mzunguko wa bleed (hedhi) ni tofauti sana na siku za bleed (hedhi). 1. Siku za bleed (hedhi) ni kuanzia na siku ya kwanza unapata bleed hadi siku ile unamaliza bleed. 2. Wakati mzunguko wa bleed huanza siku umepata bleed mpaka siku moja kabla hujapata bleed nyingine. Mfano umepata bleed tarehe 1 mwezi wa saba na bleed hiyo ikaisha tarehe 05 basi siku za bleed ni 5 na zimeanza tarehe moja na zikaisha tarehe 5. Kama bleed ingine umeipta tarehe 29 mwezi wa 7. Basi mzunguko wako wa bleed ya mwezi wa saba umeanza tarehe 01 mwezi wa saba na ukaisha tar...

Mbinu za mafanikio

#MBINU 101 ZA MAFANIKIO. Katika kukuza biashara unaweza kupambana sana lakini kama utashindwa kujiangalia wewe mwenyewe usishangae kuona biashara haina mabadiliko. Ili biashara ikue lazima wewe ukue. Kama kiongozi wa biashara lazima ujifunze sana kuliko mtu mwingine yeyote. Lazima uifahamu biashara yako kuliko mtu mwingine yeyote. Lazima ujue unakokwenda na ukubali kujifunza kila siku. Umesoma vitabu vingapi kuhusiana na biashara umayofanya mpaka sasa? Unapokuwa na maarifa kichwani yanakusaidia kuleta suluhisho kwenye changamoto zinakujia. Soma zaidi hapa... http://ow.ly/ omv930emViF