Posts

FIVE WAYS TO IMPROVE YOUR REPRODUCTIVE HEALTH THROUGH DIET [FOR MEN AND WOMEN ]

Image
CUT OUT ALCOHOL Alcohol isn't just bad during pregnancy, but it can also reduce fertility in both men and women. Alcohol can have a negative impact on sperm quality and testosterone levels, and can also reduce your overall sperm count. Alcohol is also suspected to reduce fertility in women and scientists suspect alcohol consumption is one of the reasons behind an increase in infertility in women. Although it's not necessary to completely stop drinking, try to take in no more than one to two drinks a day. If you've gone many months without conceiving, try ceasing your alcohol intake entirely, and see if this step doesn't help you conceive. EAT PLENTY OF FRUITS AND VEGETABLES Fruits and vegetables such as arugula, kale, blueberries, oranges, red peppers and raspberries are full of vitamins, antioxidants and phytonutrients. These properties can help feed and repair your reproductive system. Furthermore, environmental factors such as smog, pollution and stressors can contri...

Mambo Muhimu Unayoweza Kujifunza Kutoka Katika Kitabu Cha The Essentials Of Business Etiquette

Image
Habari ya wakati huu mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wangu? ni matumaini yangu kuwa umeamka salama siku hii ya leo. Leo ni siku nyingine bora sana na ya kipekee kwetu hivyo tunaalikwa kumshukuru Mungu kwa zawadi ya siku hii ya leo. Rafiki, tumia muda wako vema kwa manufaa yako mwenyewe na dunia nzima. Karibu sana rafiki katika makala yetu ya leo ambapo leo nitakwenda kukushirikisha mambo muhimu niliyojifunza katika uchambuzi wa kitabu. Nitakwenda kukushirikisha mambo machache kati ya mengi kupitia kitabu hiki. Karibu tuanze pamoja hadi tamati ya somo letu la leo. Kitabu hiki kimeandikwa na mwandishi Barbara Pachter. Mambo 20 niliyojifunza katika kitabu cha The Essentials of Business etiquette na Barbara Pachter ni kama ifuatavyo; 1. Jina ni muhimu sana. Kila mtu ana jina lake na amepewa jina ili atambulike yeye ni nani. Jina linatambulisha biashara ya mtu. Jina linabeba biashara au kitu unachofanya. Kama unamwita mtu jina lake mwite kiufasaha na siyo jina la utani. Mara nyingi pen...

Njia 14 za kuondoa tatizo la kuwahi kufika kileleni

Image
Kati ya matatizo makubwa kabisa yanayowasumbuwa wanaume katika suala la kujamiiana ni  kufika kileleni mapema . Takwimu zisizo rasmi zinasema kuwa, wanaume 7 kati ya 10 wanapatwa na tatizo hii. Malalamiko yanayotolewa na baadhi ya wanaume yanathibitisha kwamba, muda wa kumaliza tendo huwa kati ya nusu dakika na dakika mbili kwa tendo la kwanza, huku wengine wakimaliza hamu katika hatua za awali tu wakati wakiandaana na kukosa hamu kabisa ya tendo la ndoa. Hata hivyo wale wanaoweza kusimama tena mara baada ya tendo la kwanza wanakiri kuchelewa kidogo, ingawa bado suala la kutangulia kufika kileleni kabla ya mwanamke limekuwa likiwahuzunisha wanaume wengi wa rika zote vijana hata wazee. Ndoa nyingi zimevunjika chanzo kikiwa ni tatizo hili. Karibu kila pembe ya dunia kunasikika vilio toka kwa wanaume wakilalamika kukabiliwa na tatizo la kuwahi kufika kileleni, ambalo limewafanya waonekane si lolote kwa wenzi wao. Ni ukweli usio pingika kuwa mwanaume anapowahi kufika kileleni kabla ya ...

SIKILIZA: CHANZO CHA SIKUKUU YA KRISMASI

Image
Kila tunapokaribia sikukuu ya Krismasi, watu wengi wanauliza maswali juu ya chanzo cha Sherehe hii ya Krismasi ya tarehe 25 Desemba katika Ukristo, hivyo nimeona nitoe majibu ambayo naamini yatawasaidia wengi wanaopenda kuujua ukweli. Maswali: Ni nini Chanzo cha sikukuu ya Krismasi ya tarehe 25 Desemba? Je ni kweli Yesu alizaliwa tarehe hiyo? Ilianzaje na ilianza lini kusherekewa na Wakristo? MaJibu: Kwa mujibu wa Biblia, wakristo wengi wanaamini kuwa Yesu alizaliwa, ila hakuzaliwa tarehe 25 Desemba, na hakuna sehemu yoyote ya biblia inayotaja tarehe ya kuzaliwa Yesu, wanafunzi wa Yesu pamoja na Kanisa la Kristo waliloliacha mitume hawakuwahi kusherekea sikukuu hii ya Tarehe 25 Desemba kama siku ya Kuzaliwa Yesu Kristo. Tunapochunguza Biblia tunaikuta tarehe 25 December, kuwa ni sikukuu iliyokuwa inaadhimishwa na wapagani wa Babeli ambako Waisraeli walichukuliwa mateka. Hivyo sikukuu ya 25 Desemba ilikuweko kabla ya Kuzaliwa Yesu, na ilikuwa sikukuu ya wapagani wa Babebli wakishereheke...

NI HALISI NA HAZINA MADHARA YOYOTE KWA MTUMIAJI….. HISTORIA FUPI

 Bidhaa za Foreverliving zimeanzishwa na Bwana Rex Maugan ambaye ni mtu hodari na aliyekuwa na ndoto. Kwa miaka mingi alikuwa akiwaza kuanzisha kampuni itakayo saidia watu afya na kipato.  Mwaka 1978 alifanikiwa kupata wazo na kualika watu 43 kushiriki mkutano wa kwanza huko Phoenix, Arizona. Mkutano ndio ulikuwa chanzo cha kuanzisha kampuni ya ‘Foreverliving products’ iliyosambaa nchi zaidi ya 130 duniani na kufanikisha ndoto yake. MALIGHAFI Bidhaa za Foreverliving hutengenezwa kwa kutumia mmea aina ya Aloe Vera na Asali ya nyuki wadogo. Mmea wa Aloe Vera ni moja kati ya mimea ya dawa iliyojulikana tangu kitambo sana.  Una zaidi ya miaka 2000 katika historia na Sayansi. Kuna zaidi ya aina 200 za mimea ya Aloe Vera . Mmea wa Aloe Vera una zaidi ya virutubisho 75 ikiwa ni pamoja na madini 20, amino acid 18 na vitamin 12. Aloe Vera ina uwezo wa kupenya mwilini na kufikia tishu za ndani kabisa, tabaka saba kwenda ndani. Bidhaa za Foreverliving hutumia aina moj...

LIPA GHARAMA ILI UFANIKIWE

Image
Habari za Leo Rafiki. Natumaini Unaendelea Vyema sana. Mimi pia nipo Vyema. Kwenye safari yetu ya mafanikio kuna vitu vingi tunafanya ili tusonge mbele kila wakati. Ili mtu atoke sehemu moja aliyokuwepo na kusogea mbele anahitaji gharama.  Sio kitu kirahisi kama unavyoweza kufikiri ndio maana sio wote wanaweza.  Watu wengi huingia kwenye biashara au huanza vitu vipya na kutegemea matokeo bila kulipia gharama yeyote. Kama ilivyo kwa Mtoto anavyozaliwa ili aweze kupitia hatua za ukuaji anahitaji kulishwa chakula bora na vilevile matunzo ya kutosha. Haiwezekani mtoto akizaliwa leo aachwe hovyo hovyo halafu tutegemee akue kirahisi lazima ataugua na mwishoe kufariki. Hivyo pia kwenye vitu tunavyofanya tunahitaji uvumilivu,  kujifunza, kufanya kazi kwa bidii, muda wa kusubiri matokeo. Haitokei tu ghafla ukaanza kuona matunda ya mti. Lazima zipite hatua mbalimbali hadi uone matunda. Hata unapootesha nyanya ukaziacha shambani bila kuzihudumia usitegemee mabadiliko yeyote. Zaidi u...

MAAJABU YA KARANGA MBICHI

Image
MAAJABU YA KARANGA Wengi wetu huchukulia ulaji wa karanga kama chakula cha kujiburudisha na kisichokuwa na umuhimu sana katika afya ya mwili wa binadamu. Kiukweli karanga siyo chakula cha kupuuziwa iwapo utajua faida zake kama nitakavyokujuza leo katika makala haya. MAGONJWA YA MOYO …. Kama ilivyokuwa kwa korosho, karanga nazo ni chanzo kizuri cha mafuta mazuri aina ya ‘monounsaturated fats’ ambayo yanatiliwa mkazo kutumiwa kwa afya ya moyo. Kwa mujibu wa utafiti, watu wanaokula karanga mara kwa mara hupunguza hatari ya kupatwa na ugonjwa wa moyo (cardiovascular heart disease) kwa asilimia 21. Aidha, katika taarifa iliyochapishwa kwenye jarida moja la Uingereza la ‘Journal of Nutrition’ ambako kuna matokeo ya taarifa nne za utafiti, imeonesha pia watu wanaotumia karanga mara kwa mara, angalau mara nne kwa wiki, hujipa kinga nyingine dhidi ya ugonjwa wa moyo (coronary heart disease) kwa zaidi ya asilimia 37. Mbali ya kuwa na mafuta mazuri yanayotoa kinga kwe...