Posts

WAKATI NDIO HUUU

Image
Habari ndugu msomaji wa makala zangu nimatumaini yangu kabisa uko salama tazama leo ni siku nyingine tunakutana tena ili kuhakikisha tunafuguana kifikra na mawazo unapaswa kumshukuru Mungu ambae kakupa siku hii kama zawadi Kwako na uitumie ili uweze kuongeza kitu katika maisha yako, ninaamini kabisa hata kusoma makala hii ni kuitumia Vyema siku yako maana umeongeza ufaham zaidi, moja ya kitu ambacho watu wengi hawajui kukitumia ni wakati na tena wakati ule uliopo, watu wengi sana maisha yao yanashindwa kubadilika kwasababu wanashindwa kuutumia wakati uliopo na maisha yao yamebaki kuwa yaleyale. Hayabadiliki wengine magumu bora ya jana na wengine hufa hali ya kuwa ni masikini sio kwamba hawana uwezo Bali hawako tayali kuutumia wakati hisika. Hakuna wakati mzuri wa kutengeneza mazingira ya kupata ajira kama wakati ambao uko kwenye mazoezi ya vitendo (field) najua unaweza kuniuliza kivipi hiyo ni mada ndefu endelea kufatalia makala hizi utajifunza, hakuna wakati mzuri wa kuanza kujifunza ...

UZITO MKUBWA NI HATARI

Image
Uzito umekuwa tatizo kwa watu wengi sana hivi sasa kuanzia kwa watoto mpaka kwa watu wazima Idadi ya watu wanaonenepa inazidi kuwa ž Tunapoelekea ni pabaya zaidi ya tulipotoka kubwa . KWA WATU WAZIMA MWISHO ITAFIKA MPAKA KWA WANYAMA          Athari za uzito mkubwa        Unene una athari mbali mbali katika mwili wa binadamu .  ž Tunaweza kugawa athari hizo katika makundi mawili ž 1.Kimwili ž 2.Kijamii Athari za unene katika mwili  ž Unene hubomoa afya zetu na kutuongezea hatari ya kupata magonjwa yafuatayo : ž * Kisukari * ž Magonjwa ya moyo ž * Kiharusi * ž Kukosa pumzi wakati wa kulala ž * Kuumwa kwa viungo (Osteoarthritis) * ž Inapunguza uwezo wa kufikiri na ufanisi / uvivu   * Uchovu wa mara kwa mara . ž Rahisi kupata vimbe,mfano shingoni,haja kubwa n.k,kutokana na mafuta mwilini .   Athari za unene kijamii   * Kujichukia * ž ...

Siku 90 za kubadili maisha yako

Image
Je unatafuta ajira? Je unajua 80% ya waajiriwa hufa masikini? Je unaishi maisha uyatakayo? Je watoto wako wanaishi maisha gani na unapenda mazingira wanayoishi? Je umejiandaaje na mpango wa maisha baada ya kustafu au ukistaafu utaenda kutafuta ajira tena ? sasa kuna mpango madhubuti wa kukuandaa mara tu baada ya kustaafu na pia mpango huu utakufundisha namna ya kuutumia muda wako vizuri ili upate....:-     (i)Kipato ambacho ni endelevu     (ii)Afya bora wewe na familia yako     (iii)Muda wa kufurahia na familia yako Uwe na biashara yako. Je utawezaje kufanikiwa ndani ya siku 90?? Contact us  +255717962720                   +255767962720                   +255628358487