UZITO MKUBWA NI HATARI

Uzito umekuwa tatizo kwa watu wengi sana hivi sasa kuanzia kwa watoto mpaka kwa watu wazima
Idadi ya watu wanaonenepa inazidi kuwa
žTunapoelekea ni pabaya zaidi ya tulipotoka
kubwa .
KWA WATU WAZIMA

MWISHO ITAFIKA MPAKA KWA WANYAMA

 
     Athari za uzito mkubwa 
     Unene una athari mbali mbali katika mwili wa binadamu
žTunaweza kugawa athari hizo katika makundi mawili
ž1.Kimwili
ž2.Kijamii
Athari za unene katika mwili

 žUnene hubomoa afya zetu na kutuongezea hatari ya kupata magonjwa yafuatayo:

ž* Kisukari

* žMagonjwa ya moyo

ž* Kiharusi

* žKukosa pumzi wakati wa kulala

ž* Kuumwa kwa viungo(Osteoarthritis)

* žInapunguza uwezo wa kufikiri na ufanisi/uvivu
 * Uchovu wa mara kwa mara.
žRahisi kupata vimbe,mfano shingoni,haja kubwa n.k,kutokana na mafuta mwilini. 
Athari za unene kijamii 

* Kujichukia

* žKutopendeza au kukosa size ya nguo

ž* Kutengwa, mfano kwenye mabasi n.k

* žKukosa kazi

* žNdoa.
 
žJiulize unatakiwa kupunguza kilo ngapi?

žKupunguza uzito ni kama vita,ili uishinde kumbuka ni lazima uweke bayana manufaa utakayo yapata ukipungua na pia athari utakazo zipata usipo pungua.Hii itakusaidia ushinde vita hii kwa urahisi.
Pata suluhisho sasa :
Phone: +255717962720
               +255767962620
               +255628358487

Comments

Popular posts from this blog

GROUP (KUNDI) ZA DAMU NA TABIA ZAKE

ZIJUE SIKU HATARI KWA MWANAMKE KUPATA UJAUZITO[MIMBA]

TOFAUTI YA DHAMBI,MAKOSA NA UOVU.